BINGWA WA MAGONJWA YA AKINA MAMA NA MARADHI YA TABIA, DR. FADHILI EMILY AZUNGUMZIA JUU UGONJWA WA EBOLA.
Dr. Fadhili Emily wa The Fadhaget
Sanitarium Clinic leo ameeleza katika mitandao ya kijamii kuwa uwezekano
wa kutibu ugonjwa wa Ebola kwake ni tatizo, amekili wazi hawezi kutibu
ugonjwa huo bali akitambulika mtu ana ugonjwa huo anamshauri afike
Muhimbili hospitalini moja kwa moja maana ni ugonjwa usio wa kawaida
katika mazingira yetu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki madaktari
ili tujue wepesi wa kujua siri ya kirusi cha Ebola na kusaidia dunia juu
ya matibabu.
Dr. Fadhily Emily wa The Fadhaget Sanitarium Clinic
Dr. Fadhily Emily wa The Fadhaget Sanitarium Clinic
Comments