RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

BINGWA WA MAGONJWA YA AKINA MAMA NA MARADHI YA TABIA, DR. FADHILI EMILY AZUNGUMZIA JUU UGONJWA WA EBOLA.

Dr. Fadhili Emily wa The Fadhaget Sanitarium Clinic leo ameeleza katika mitandao ya kijamii kuwa uwezekano wa kutibu ugonjwa wa Ebola kwake ni tatizo, amekili wazi hawezi kutibu ugonjwa huo bali akitambulika mtu ana ugonjwa  huo anamshauri afike Muhimbili hospitalini moja kwa moja  maana ni ugonjwa usio wa kawaida katika mazingira yetu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki madaktari ili tujue wepesi wa kujua siri ya kirusi cha Ebola na kusaidia dunia juu ya matibabu.
http://i1.ytimg.com/vi/8NYzzMmziS4/0.jpgDr. Fadhily Emily wa The Fadhaget Sanitarium Clinic

Comments