Maneno aliyoandika komediani MC Chavala baada ya kuaga ukapela"
....Basi ndio ikawa hivyo bwana! Sherehe za kumsend-off "Queen Happiness" zikafanana sana....Oooh I mean zikafana sana!!
Thank you Street Gospo Ministri au Emanuel Mkandamizaji kwa company yako!
*Basi watu wakawa safarini siku ya Ijumaa kutoka pande mbalimbali za nchi kuelekea Vwawa-Mbozi, Mbeya ili wajue "Je kweli King Chavala yuko serious au anafanya serious comedy ya kuoa hahaa"
.......na mambo yakaendelea vema,na ndivyo ikawa hivyo bwana....Inafurahisha sana!!"
Thank you Street Gospo Ministri au Emanuel Mkandamizaji kwa company yako!
*Basi watu wakawa safarini siku ya Ijumaa kutoka pande mbalimbali za nchi kuelekea Vwawa-Mbozi, Mbeya ili wajue "Je kweli King Chavala yuko serious au anafanya serious comedy ya kuoa hahaa"
.......na mambo yakaendelea vema,na ndivyo ikawa hivyo bwana....Inafurahisha sana!!"
Comments