MATUKIO YA MAZISHI YA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA THE UNIT FAMILI MAREHEMU MAGRETH MKAMA AMEAGWA SIKU YA JUMAMOSI 29.03.2015 JIJINI DAR
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam na wapenzi wa nyimbo za Injili siku ya
leo walibaki na simanzi kubwa sana, baada ya kuhakikisha kwa macho yao
ndugu yao na rafiki yao Marehemu Magreth Mkama akiwa katika nyumba
yake ya milele. Machozi na vilio vilitanda kwa waimbaji wa nyimbo za
Injili Tanzania na wananchi kwa ujumla hasa pale walipoweza kushuhudia
mwili wa marehemu ukiwa katika jeneza, watu wengi hawakuamini kutoka na
vile marehemu alivyoweza kuishi wa watu vizuri hasa awapo katika huduma
na kazi zake za kila siku.
Madamu Ruti (kulia) na Mc Sarah Mvungi wakiwa na huzuni. Hawa wako katika kundi la waimbaji ambako marehemu alikuwa naye mwanakikundi ambacho kinaitwa THE UNIT FAMILY
Marehemu Magreth Mkama aliyezaliwa 1986 na kufariki 2015 alikuwa amejiunga na kikundi cha waimbaji kinachoenda kwa jina la THE UNIT FAMILI akiwa kama katibu wa kikundi. Marehemu ambaye alikuwa mcheshi sana kwa marafiki zake na majirani zake ameacha wanae wawili hapa duniani.
Hakika hatutamuona tena Magreth Mkama katika dunia hii mpaka siku ile ya mwisho ambayo kila mtu atatoa hesabu mbele za Mungu. Mungu akubariki sana
Kutoka kushoto ni waimbaji wa nyimbo za Injili kutoka katika kundi alilokuwepo marehemu Magreth Mkama la THE UNIT FAMILY-Kutoka kushoto ni Sarah Mvungi akifuatia Madam RutiMadamu Ruti (kulia) na Mc Sarah Mvungi wakiwa na huzuni. Hawa wako katika kundi la waimbaji ambako marehemu alikuwa naye mwanakikundi ambacho kinaitwa THE UNIT FAMILY
Marehemu Magreth Mkama aliyezaliwa 1986 na kufariki 2015 alikuwa amejiunga na kikundi cha waimbaji kinachoenda kwa jina la THE UNIT FAMILI akiwa kama katibu wa kikundi. Marehemu ambaye alikuwa mcheshi sana kwa marafiki zake na majirani zake ameacha wanae wawili hapa duniani.
Hakika hatutamuona tena Magreth Mkama katika dunia hii mpaka siku ile ya mwisho ambayo kila mtu atatoa hesabu mbele za Mungu. Mungu akubariki sana
MC Joshua Makondeko akiongea
Madam Ruti wa pili kutoka kushoto
Madam Ruti akitokwa na machozi akiwa ameshikiliwa na Sarah Mvungi
Jamani madamu Ruti wa Jana Imepita akilia kwa uchungu
Mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania, Mess Jacob Chengula wa tatu kutoka kulia akiwa na huzuni
Mtangazaji wa Praise Power Radio-Christina Mtua
Comments