RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

GWAJIMA APATA DHAMANA MAHAKAMA YA KISUTU, DAR



Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima leo amepata dhamana Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar atarudi mahakamani hapo Mei 4, 2015. Josephat Gwajima ameshitakiwa kwa makosa mawili kutoa lugha ya matusi na kushindwa kutunza slaha.

Comments