NENO LA MUNGU
LINATOKA KATIKA INJILI YA MTAKATIFU LUKA 9:37-43
Biblia inasema: Ikawa
siku ya pili yake aliposhuka mlimani, mkutano mkubwa ulifuatana naye, natazama
mtu mmoja katika mkutano alipaza sauti akasema, mwalimu nakuomba umwangalie
mwanangu, kwa sababu ni mwanangu yeye wa pekee. Na tazama pepo humpagaa mara
yeye hupiga kelele, tena humtia kifafa huku mwanagu hutokwa na povu, wala
hamwachii ila kwa shida, hujichubua chubua.
Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe wasiweze, Yesu akajibu akasema,
akawaambia hao wanafunzi wake, enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka,
nitakaa nanyi nitawachukulia hata lini? Yesu akasema mlete mwanao hapa,
alipokuwa katika kuenenda pepo akambwaga chini, akamtia kifafa, Yesu akakemea
pepo mchafu, Yesu akamponya Yule mtoto; leo namkemea pepo mchafu
anayezuia mafanikio yako, mahusiano yako, atoke kwa jina la Yesu.
JINSI YA KUFIKA KANISANI: Ukiwa unatokea Mwenge Dar es Salaam, panada magari ya Tegeta, Shuka Mbezi Mbuyuni, uliza kanisa la Nabii Flora.
MATUKIO MENGINE INGIA
JINSI YA KUFIKA KANISANI: Ukiwa unatokea Mwenge Dar es Salaam, panada magari ya Tegeta, Shuka Mbezi Mbuyuni, uliza kanisa la Nabii Flora.
MATUKIO MENGINE INGIA
Comments