Catherine Madii ni mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania. Mungu amempa
neema hii ya uimbaji na yeye akaona ni bora akaweza kuitumia ili wewe na
mimi tuweze kusikia ujumbe wa Mungu kupitia sauti yake. Kwa msaada wa
Mungu wetu wa mbinguni ameweza kufanikiwa kumaliza albamu yake na sasa
inapatikana mitaani.
Pia ni mwimbaji ambaye anapenda sana kuhubiri, na yupo tayari kushiriki katika makongamano, semina, mikutano, sherehe mbalimbali, makanisani kufanya huduma hii ya uimbaji na kuhubiri.
Kava limetengezwa na Rumafrica +255 715 851 523.
Pia ni mwimbaji ambaye anapenda sana kuhubiri, na yupo tayari kushiriki katika makongamano, semina, mikutano, sherehe mbalimbali, makanisani kufanya huduma hii ya uimbaji na kuhubiri.
Kava limetengezwa na Rumafrica +255 715 851 523.
Comments