Baadhi ya WanaCHAMUITA waliweza kufika Mwanza kwaajili ya kufanya kongamano kubwa la kumshukuru Mungu na kuliombea Taifa la Tanzania Amani na Utulivu. Muhubiri wa tamasha hili ni Bishop Dkt. Joice Ndalima kutoka Dar es Salaam na mwenyeji wa kongamano hilo ni Mkuu Mkoa wa Mwanza Mh. Magesa Murongo. Kuna baadhi ya waimbaji wametoka Dar es Salaam na mikoa mbalimbali kwenda kuungana na wakazi wa Mwanza kwaajili ya kumshukuru Mungu. Tuone baadhi ya matukio
Katibu Muezezi wa CHAMUITA Taifa, Stella Joel (kushoto) wakiwa na mkazi wa Mwanza
Uliambaga Mwakatobe akiwa ziwani Mwanza
Katibu Muezezi wa CHAMUITA Taifa, Stella Joel
Uliambaga Mwakatobe akiwa ziwani Mwanza
Katibu Muezezi wa CHAMUITA Taifa, Stella Joel
Katibu Muezezi wa CHAMUITA Taifa, Stella Joel (kushoto) akiwa na mwimbaji maarufu Tanzania Uliambaga Mwakatobe
Mwimbaji maarufu Tanzania Uliambaga Mwakatobe akiwa katika mapumziko
Mume wa Stella Joel bwana Yeronimo Mwalo
Mch. Lucy kutoka Dar (kushoto) na ni kiongozi wa CHAMUITA akiwa na wenyeji wa Mwanza
KIPINDI CHA KUPATA CHAKULA NA VINYWAJI
KIPINDI CHA KUMTUKUZA MUNGU KWA SIFA
Madam Ruti
Bishop Dkt. Joice Ndalima akihubiri
Comments