RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

JENNIFER MGENDI AWASHUKURU WATANZANIA KWA KUFIKA KATIKA TAMASHA LAKE

Mwimbaji mkongwe wa nyimbo za Injili Tanzania, Jennifer Mgendi amewashukuru Watanzania kwa  kukushiriki tamasha lake la uzinduzi wa albamu yake mpya inayoitwa WEMA AKIBA. Jennifer Mgendi ambaye amejipatia umaarufu sana katika kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji na uigizaji wa filamu za Kikristo Afrika Mashariki amewataka wananchi kuzidi kuuunga mkono waimbaji wa nyimbo za Injili kwa kufika katika matamasha wanayoyaandaa ili watu waweze kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji.
Mungu azidi kuwabariki sana na azidi kubariki kazi ya mikono yenu kila kuitwapo leo..Ameni
 
 Cosmas Chidumle kushoto akienda sawa na Jennifer Mgendi (katikati)
 Jennifer Mgendi

 Jennifer Mgendi akimtukuza Mungu mbele za Watanzania waliofika katika tamasha hilo
 Albamu ya Jennifer Mgendi ikiombewa na watumishi wa Mungu akiwemo mgeni Rasmi wa pili kutoka kulia


 Mgeni Rasmi Askofu Mkuu wa TAG Dr. Barnabasi Mtokambali akionyesha DVD ya Jennifer Mgendi baada ya kuzinduliwa. Kulia ni Mch. Swai wa kanisa la DCT TAG ambako tamasha hili lilifanyika


MATANAGAZO YA TAMASHA LA JENNIFER MGENDI YALIYOTENGEZWA NA RUMAFRICA








Comments