MC JERRY MTUMISHI ASHEREHESHA HARUSI YA JANETH NA TUMANIEL NDANI YA UKUMBI WA PICCOLO BEACH HOTEL - DAR
Mc Jerry binafsi ninamkubali sana kwa
kazi zake. Ni kijana ambaye anajituma na mwenye discipline katika kazi.
Kuhusu kutunza muda kwa MC Jerry amejaliwa, anahakikisha shughuli yake
inakwenda kwa wakati uliopanga. Kama ukizungumzia ucheshi wa ma-MC
duniani, hutaweza kumsahau MC Jerry, kwani ni kijana mcheshi na anapenda
sana kuchekesha na kuona mtu akiwa na furaha wakati wote.
Pia ni mwigizaji wa filamu nchini Tanzania.
Siku ya tarehe 22/08/2015 MC Jerry aliweza kusherehesha harusi ya Janeth na Tumainiel Unaweza kuwasiliana naye kwa simu +255 718 920 479 na tembelea www.rumaafrica.blogspot.co m.
Pia ni mwigizaji wa filamu nchini Tanzania.
Siku ya tarehe 22/08/2015 MC Jerry aliweza kusherehesha harusi ya Janeth na Tumainiel Unaweza kuwasiliana naye kwa simu +255 718 920 479 na tembelea www.rumaafrica.blogspot.co
BONYEZA "READ MORE" KUONA MATUKIO ZAIDI YA EVENT HII
Comments