Mh. Mary
Mwanjelwa ambaye ni muumini wa kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni B
Assemblies of God siku ya Jumapili 16/08/2015 aliweza kumshukuru Mungu
kwa yale aliyofanya katika harakati zake za siasa, na pia aliwashukuru
waumini wa kanisa hilo kwa maombezi waliyoyafanya kuliombea Taifa
Tanzania amani na utulivu katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alisema Mungu ni mwaminifu sana
ukimtumikia hata kuacha . Mh. Mary Mwanjelwa alisisitiza watu kuzidi
kuliombea Taifa letu katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu.
Mh. Mary Mwanjelwa
Kulia ni Mh. Mary Mwanjelwa akiwa na Askofu Getrude Rwakatare wa Mlima wa Moto wa Asse,mblies of God.
Comments