MATUKIO KATIKA PICHA IBADA YA JUMAPILI 28.02.2016 MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B" KWA BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE
Hizi ni baadhi tu ya picha zilizopatikana katika kipindi cha Sunday School katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B". Mch. Francis Machichi wa kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" linaloongozwa na Bishop Dr. Gertrude Rwakatare aliweza kufundisha juu ya URITHI na aina zake za URITHI. Somo lilikuwa zuri sana na watu wengi walibarikiwa na ufunuo wa Mchungaji huyu. Siku ya leo tungependa tu uone matukio katika picha katika ibada hiyo wakati tunakuandalia somo alilofundisha mtumishi wa Mungu Mch. F. Machichi.
Mch. Francis Machichi
Mch. Elizabeth akisoma Biblia ambayo ilikuwa ikitafsiriwa na kuchambuliwa na Mch. Francis Machichi
Mtu na me wake
Kushoto ni muumini anayetumia kalamu ya upako inayotolewa katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B"
Mzee wa Kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B"
BONYEZA "READ MORE" KUONA MATUKIO MENGINE MENGI HAPO CHINI
BONYEZA "READ MORE" KUONA MATUKIO MENGINE MENGI HAPO CHINI
Mzee wa kanisa Mlima wa Moto Mikocheni "B"
Kulia ni muumini aliyeokoka Jumapili hii ya 28.02.2016
Mzee wa kanisa na mke wake wakiwa makini
Mzee wa Kanisa Mzee Malya akifuatilia somo kwa umakini
Wa pili kutoka kulia ni kiongozi wa Vijana wa kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B", Bwana Victor
Mhudumu wa kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" akiwa katika maombi.
Tunakukaribisha sana katika ibada ya Jumapili saa 3 asubuhi. Usafiri wa kufika kanisani ni Bure kuanzia katika nje ya kituo cha mabasi cha Makumbusho jijini Dar es Salaam au Mwenge mataa utaona mabasi ya Mlima wa Moto Mikocheni "B", ingia humo bila kulipia nauli
Comments